JOSH CLEOPA NIPONYE NA MIMI- LYRICS

 Niponye na mimi

Niponye na mimi

Niponye na mimi

Lord I am hunted ×2


Vile anipendavyo baba

Hata nikosee vipi

Pendo lake halibadiliki kwangu

Vivyo ilivyo zaidi

Kwa baba wa mbinguni

Matendo yangu yasiwe rugha kwako


Usipime upendo wangu

Kwa udhaifu wangu

Mi mwanadamu kasoro utapata tu


Kidonda kitoapo funza, Baba usinikatae

Nikumbatie, uwe pumziko langu


Niponye na mimi

Niponye na mimi

Niponye na mimi

Lord I am hunted ×2


Neema hii sio chanzo

Cha mimi kukosea

Baba yangu hili nakiri kwako

Maana moyo wangu huradhi

Kufwata neno lako

Ila mwili wangu umekua kikwazo kwangu


Pale ninapoteleza

Baba uniinue

Ninaposhindwa baba nisaidie


Oh Yesu je wajua nakupenda?

Oh kweli baba, mimi nakupenda

 Oh Yesu je wajua nakupenda?

Kweli baba, mimi nakupenda


Usipime upendo wangu

Kwa udhaifu wangu

Mi mwanadamu kasoro utapata tu ×2


Niponye na mimi

Niponye na mimi

Niponye na mimi

Lord I am hunted


Niponye na mimi

(Mimi mdhaifu)

Niponye na mimi

(Mimi mwenye kiburi)

Niponye na mimi

Lord I am hunted 


Niponye na mimi

(Nakuomba bwana)

Niponye na mimi

Niponye na mimi

Lord I am hunted ×3

https://www.youtube.com/watch?v=d0dqR1YxuC0 JOSH CLEOPA NIPONYE NA MIMI

Comments

Popular posts from this blog

Number One By Le Band and Suzziah Lyrics

Senzenina By King Kaka Lyrics

Sema Milele Lyrics by Gilad