Posts

Showing posts from April, 2018

BENSOUL- N'TALA NAWE LYRICS

Image
Verse 1 Eh mpenzi we, usiwe na mashaka Ingawa mashida kesho tutatoboa Nikiwa kwa raha, tufurahi pamoja Na ninapo  lia we wanipa faraja Chorus N'tala nawe n'tala nawe Kwenye shida ama kwenye furaha dada N'tala nawe n'tala nawe Kwenye jua ama kwenye mvua N'tala nawe n'tala nawe Kwenye shida ama kwenye furaha dada N'tala nawe n'tala nawe Kwenye jua ama kwenye mvua Kwenye jua ama kwenye mvua Verse 2 Ona nyota zetu zinavyo meta meta Na ukitabasamu unapendeza sana Nikiwa kwa giza umekuwa mwangaza Tuliopitia umenivumilia Chorus N'tala nawe n'tala nawe Kwenye shida ama kwenye furaha dada N'tala nawe n'tala nawe Kwenye jua ama kwenye mvua N'tala nawe n'tala nawe Kwenye shida ama kwenye furaha dada N'tala nawe n'tala nawe Kwenye jua ama kwenye mvua *2 Kwenye jua ama kwa mvua  * * * Nitalala nawe N'tala nawe Nitalala nawe n'tala nawe Nitalala nawe n'tala nawe kwenye jua ama kwenye