Posts

Showing posts from March, 2017

Rosella Lyrics - H_Art The Band × Lady Jay Dee

Image
Afraid to tell him how she feels She silently whispers to herself Afraid, holding her breathe, maybe he might hear her. See, he doesn't feel the same way, Maybe H_Art the Band Lady Jay Dee Verse 1 Nikaja kupenda na moyo wangu wote, Binti huyu aliyenyefanya nimuote,  usiku na mchana nikawa nikama nimepagawa Sionekani popote nikaja kutenda mambo Mengi magumu na mazito Ilimradi niwe naye lakini sasa ninapotazama  naona kwamba niliachwa upweke. Nilikua na wingi wa mahaba nilikupenda kinyama kukutenda sikuwaza Kamba nikakaza, lakini huonekani mpaka sasa Nilikua na wingi wa mahaba nilikupenda kinyama kukutenda sikuwaza Kamba nikakaza, lakini huonekani mpaka sasa Chorus     Rosela, mi najiuliza     Rosela, Je umebadilika     Rosela, nashindwa kuamua aaah ×2 Verse 2 Ni ukweli niliamua kuondoka. Nikidhani nitapendwa niendako Ooh hakuna Oh mi nilidhani nitakuta tofauti hio yote mpaka sasa sijaona Moyo waniuma nikikumbuka Mambo mengi we uli

Amina Lyrics by Sanaipei Tande

Image
Aaaaah aaaaah aaah aaah aaaaah aaaaah, aaaaah aaaaaah Ooh mama, panguza chozi Siyatafakari vita vya juzi Si kupenda kwangu kukuudhi Ila tu ujana haubagui Dada panguza chozi Sijitie lawama kwa uzushi Kwani vita kati ya mandugu si ya firauni Wakati hauniruhusu mi Kurekebisha yangu madhambi Kwa hivyo nawaomba siku hii Nikumbukie mazuri Mi nataka mucheke siku ya mwisho Siwe mpweke mi bado niko Namshukuru Mola kwa kuwepo Nasema Amina Amina amina A A amina Amina amina A A amina Amina amina A A amina Amina amina Ooh mpenzi panguza chozi Sijijaze chuki wewe moyoni Hasira hasara Yote ya mwenyezi Oh rafiki panguza chozi Sijiumize we kichwa na maswali Utansamehe sana kwenda bila mkono wa buriaani Wakati hauniruhusu mi Kurekebisha yangu madhambi Kwa hivyo nawaomba siku hii Nikumbukie mazuri Mi nataka mucheke siku ya mwisho Siwe mpweke mi bado niko Namshukuru Mola kwa kuwepo Nasema Amina Amina amina A A amina Amina amina A A amina Amina amina A

Kenyan Message Lyrics by Muthoni Drummer Queen MDQ

Image
Verse 1 Tangu ile siku tukuelect, haushkagi simu men tuwezi connect Nimekua nikisaka appointment nimekua nikisuffer dissapointment Siku hizi si hukuonaga kwa teli Sisi maubao wewe lunch hoteli Panganga panganga na mapot belly Conmen watchmen wanakupangia wakikusalimia na we huwezi notice hata huwezi dhania Siku hizi country yote venye kuna njaa Kila mtu anafikiria tu chapa Chorus Don't push me coz I'm close to the edge I'm trying not to loose my head Ni kama jungle sometimes mimi huwonder mbona sijaenda under ×4 Verse 2 Na wale wana doh ni 1% Si huwaonanga siku ya kulipa rent Sisi hukuanga ndani ya predicament Biggest spender government and church officials, na miracles zao also artificial The congregation wako so superficial wanataka ule Mungu mubeneficial Unofficial, kitambulisho unaweza get in a few days Unaweza get in a few ways, Unaweza get bila delays Nowadays hosi hakuna madoctor Na gava hijali​ juu sisi wagonjwa Tukienda private tutapa