Mtakatifu Lyrics- Isaac Wangai x Pitson


 Mtakatifu ni wewe, Mwaminifu ni wewe

Mwema ni wewe, (hakuna) mwingine kama wewe 

Mtakatifu ni wewe, Mwaminifu ni wewe

Mwema ni wewe, (hakuna) mwingine kama wewe 


Utukufu wakuzingira, Malaika waabudu

Wasujudu mbele zako, wakisema kwamba wewe, wewe ndiwe Mungu X2


Mtakatifu ni wewe, Mwaminifu ni wewe

Mwema ni wewe, (hakuna) mwingine kama wewe 


Uwepo wako nafurahia, wimbo nakuimbia

Nasjudu mbele zako nikisema kwamba wewe, wewe ndiwe Mungu X2


Mtakatifu ni wewe, Mwaminifu ni wewe

Mwema ni wewe, (hakuna) mwingine kama wewe 


_Bridge_

Umestahili ewe Bwana Mungu wetu

Kupokea utukufu, heshima na uweza, milele na milele X4



Mtakatifu ni wewe, Mwaminifu ni wewe

Mwema ni wewe, (hakuna) mwingine kama wewe 


Mwingine kama wewe, mwingine kama wewe 

Mwingine kama wewe, milele na milele X2

Comments

Popular posts from this blog

Number One By Le Band and Suzziah Lyrics

Senzenina By King Kaka Lyrics

Sema Milele Lyrics by Gilad