Masheesha Lyrics by H_Art The Band ft BenSoul

Msupa wangu anataka masheesha, na kwa mfuko pesa zangu zimeisha. 
Na yule waiter ananitisha, ati mabouncer atawaita. 
Na huyu dem bado anaitisha, na mi nashindwa sasa venye nitazusha
Tulipatana juzi kwenye insta-grrram na mi staki choma picha.

Chorus 

Itakua ngori, skiza stori, wacha kuckeka hii ni ngori

nilimwacha bila sorry.

na ukicheza

utapatana na ye patana na ye 

patana na ye ye ye ye *4

Kwenye profile mimi ni lawyer,kizungu tamu kama ile ya Lumumba

Lakini ukweli mimi ni  Hawker, nina thao mbili manze leo kulidhoka, makanjo 

walinishka hata

ni bahati stenje bado sijafika, na huyu dem zake bado hazijashika, 

mzinga tatu sasa zimekatika

Itakua ngori, skiza stori, wacha kuckeka hii ni ngori

nilimwacha bila sorry.

na ukicheza utapatana na ye

patana na ye 

patana na yeye wewe 

demu wa masheesha*4

Sasa nawaza vile nitaenda choo

Nitoroke huko nyuma backdoor

Akinisaka asinipate ng'oo

akiuliza aambiwe nimegoo

Lakini vile mi naenda kuchomoka

Yule waiter akaniona, hiyo bill

akaidrop, na kwa mfuko  mimi sina hata bob

Itakua ngori, skiza stori Wacha kucheka hii ni ngori

Nilimwacha bila sorry. 

Naukicheza utapatana na ye

patana na ye ,

patana na yeye wewe eeh

Demu wa masheehsa.

Utapatana na ye 

Patana na ye

Patana na yeye wewe eeh

demu wa masheesha.

Uta patana patana patana patana patana na yeye wewe 

demu wa masheesha

Utapatana na ye patana na ye, patana na yeee yeee ooh

demu wa masheesha

Patana na ye, patana na ye patana na ye yeea

Demu wa masheesha

Utapatana  na ye,patana na ye patana na yeye yeyeye 

demu wa masheesha

Utapatana na ye patana na yeye

Patana na yeyeea

demu wa masheehsa

patana na ye patana na yeeeee eeh

Noreen Crique. ♡♥

Comments

Unknown said…
Thanx 4 the lyrics.
Unknown said…
finally!!....gotta love this lyrics.!!!
Unknown said…
This comment has been removed by a blog administrator.

Popular posts from this blog

Number One By Le Band and Suzziah Lyrics

Senzenina By King Kaka Lyrics

Sema Milele Lyrics by Gilad