LYRICS Chukua Usukani (Nakuhitaji Messiah) - Nyasha Ngoloma LYRICS

 VERSE 1

Eeh Bwana wewe ni ngome yangu

Pia mwamba wa wokovu wangu

Nisimamishe Juu ya neno lako

Niangazie uso wako


CHORUS

Nakuhitaji Messiah, Nakuhitaji

Siwezi bila we, chukua usukani


VERSE 2

Nina imani wewe waweza yote

Mipango mema siku zote

Nikiogopa baba nikumbushe

Hutaniacha nipotee 

Hutaniacha niangamie

Hutaniacha niaibike


CHORUS

Nakuhitaji Messiah, Nakuhitaji

Siwezi bila we, chukua usukani

Nakuhitaji Messiah, Nakuhitaji

Siwezi bila we, chukua usukani


Nakuhitaji Messiah, Nakuhitaji

Siwezi bila we, chukua usukani

Nakuhitaji Messiah, Nakuhitaji

Siwezi bila we, chukua usukani


BRIDGE

Nakuhitaji Bwana Nakuhitaji Bwana we

Siwezi bila we, chukua usukani

Mikono nainua sasa nanyenyekea Eeeh

Siwezi bila we, chukua usukani

Kufanikiwa kwangu kunakutegemea weeh

Siwezi bila we, chukua usukani

Kusimama kwa wokovu kunakutegemea wewe Bwana

Siwezi bila we, chukua usukani


Nakuhitaji Bwana Nakuhitaji Bwana we

Siwezi bila we, chukua usukani

Mikono ninainua na magoti ninapiga Bwana

Siwezi bila we, chukua usukani

Kufanikiwa kwangu kunakutegemea Bwana

Siwezi bila we, chukua usukani

Ni mwana mpotevu nimepata fahamu Bwana

Siwezi bila we, chukua usukani


CHORUS

Nakuhitaji Messiah, Nakuhitaji

Siwezi bila we, chukua usukani

Nakuhitaji Messiah, Nakuhitaji

Siwezi bila we, chukua usukani


Nakuhitaji Messiah, Nakuhitaji

Siwezi bila we, chukua usukani

Nakuhitaji Messiah, Nakuhitaji

Siwezi bila we, chukua usukani


conc

Nakuhitaji Bwana Nakuhitaji Bwana we

Siwezi bila we, chukua usukani

Mikono nainua, magoti napiga Bwana

Siwezi bila we, chukua usukani

Kufanikiwa kwangu kunakutegemea Bwana

Siwezi bila we, chukua usukani

Kusimama kwa wokovu kunakutegemea Bwana

Siwezi bila we, chukua usukani

Hata ndoa zetu Bwana zinakutegemea Bwana

Siwezi bila we, chukua usukani

-- -- --  --

Ni mwana mpotevu nimepata fahamu leo

Siwezi bila we, chukua usukani






Comments

Rutendo Kapezi said…
thank you for these lyrics, i was singing along i did not understand the language , i knew it was a cry and i immediately loved the song, my spirit loved it, now i can sing along..ALLELUYA NAKUHITAJI BWANA

Popular posts from this blog

Number One By Le Band and Suzziah Lyrics

Mtakatifu Lyrics- Isaac Wangai x Pitson

Senzenina By King Kaka Lyrics